Habari

​Wanafunzi wa Shule ya msingi NOTRE DAME watembelea TEMDO

Wanafunzi wa Shule ya msingi NOTRE DAME iliyopo jijini Arusha pamoja na walimu wao wametembelea Taasisi ya Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania (TEMDO) kwa ajili ya kujifunza na kujionea shughuli na kazi mbalimbali zinazofanywa na Taasisi hiyo... Soma zaidi

Imewekwa: Nov 07, 2024

Karibu katika Maonesho ya 48 ya kimataifa ya Biashara jijini Dar es Salaam.

Karibu sana katika Maonesho ya 48 ya kimataifa ya Biashara jijini Dar es Salaam. Karibu sana katika Viwanja vya Sabasaba katika banda la Wizara ya Viwanda na Biashara.... Soma zaidi

Imewekwa: Jul 05, 2024

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda,Biashara,Kilimo na Mifugo yafanya ziara TEMDO.

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda,Biashara,Kilimo na Mifugo yafanya ziara TEMDO.... Soma zaidi

Imewekwa: Mar 15, 2024

Siku ya Wanawake Duniani

Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Mkoa wa Arusha.... Soma zaidi

Imewekwa: Mar 08, 2024

Mafunzo ya Uanzishwaji na Uendeshaji wa Viwanda Wilaya ya Kishapu

TEMDO imetoa Mafunzo kwenye Maonesho na Mafunzo ya Biashara ya Mitambo na Mashine za Uzalishaji wa Bidhaa za Viwanda, Kilimo, Mifugo na Bidhaa zinginezo... Soma zaidi

Imewekwa: Sep 27, 2023

Uongozi na Watumishi wa TEMDO wanapenda kumpongeza Mjumbe wa Bodi Dkt. Liliane Joseph Pasape.

Uongozi na Watumishi wa Taasisi ya Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania (TEMDO) wanapenda kumpongeza Mjumbe wa Bodi Dkt. Liliane Joseph Pasape.... Soma zaidi

Imewekwa: Jul 22, 2023