Habari

Imewekwa: Sep, 01 2022

Tangazo la mnada wa Hadhara

News Images

  1. Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania (TEMDO) anawatangazia Wananchi wote kutakuwa na mnada wa hadhara wa Magari chakavu Tarehe 14/09/2022 kuanzia saa 4.00 asubui katika ofisi za TEMDO - Njiro Arusha ploti namba 214. Kwa maelezo zaidi soma kwenye kiambatanisho au kwenye gazeti la Mwananchi la Tarehe 01/09/2022, Wote mnakaribishwa.